Diamond Platnumz – Nitafanyaje Lyrics

Diamond Platnumz – Nitafanyaje Lyrics

Diamond Platnumz – Nitafanyaje Lyrics –Diamond Platnumz, the award-winning artist from WCB Wasafi Records, releases the official audio version of his dance/party song, “Nitafanyaje.” Diamond Platnumz wrote the song, and Tanzanian producer S2KIZZY from Wasafi Records Tanzania created the rhythm.

RELATED: Diamond Platnumz – Nitafanyaje

Diamond Platnumz – Nitafanyaje Lyrics

Siwezisema kitandani, labda umasikini wangu
Ndo kinayonishusha thamani watahminike wenzangu
Siwezisema skujali (Labda vizawadi vywangu mimi)
Havikufikia ukubwa wanavitoa wenzangu
Kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora

Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa
Sema nitafanyani
Ndo ivo nitafanya
Ila nitafanya nini
Ndo ivo nitafanyaje

Nashikwa nigagaziko kila nikiingia chumbani
Sijui nilalie tandiko ama sakafuni aah
Nachoka tu kwa nje ndani (Masikitikoo)
Sababu pengo lako honey (Bado lipoo)
Eeh, kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola

Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu

Anauumiza sanaa
Oi, lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Maana natupa stimu na wanangu kulilia kijiti
Lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Sajuti ya wazimu kuitoa tu msema muziki

Kwa maana inatu (Fire) na inatu (Fire)
Mwanangu inawa (Fire) na inawa (Fire)
Machizi wote wanapata (Fire) eh wanapata (Fire)
Na mbegu zinapata (Fire) eh zinapata (Fire)
Namnema mwanangu kwa upande wa kanga

Nilitamani tenge ila sijajipanga
Namnema mwanangu kwa muda pata mwenzio
Nilitamani manasi ila ndo sina salio
Mama yo mama (Amenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yoyo (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Asa waitee
Oya makofi kigogo nipe mawili

Ka hujatumika sana sehemu za siri
Kaso mlunganzila shepu asili
Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twen zetu)
Asa audi waletee, walete apa kati

Waletee haoo, walete apa kati
Waletee asaa, walete apa kati
Walete haoo, walete hapa kati
Eeh tunacheza mpaka sa ngapi tunachezaa (Mpaka asubuhi)

Tunaruka mpaka sa ngapi, tunaruka (Mpaka asubuhi)
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona

Eeh (Kuelewa) aah
(Eeh unayumba) eeh (Sasa umeelewa) aah
Eh unayumba

We ndo si huelewa sa mbona unayumba
Unavyomwelewa eh unayumba
Oya wahuni wana namba zao zinaitwa (Apana chando)
Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Selasini na mbili)
Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
Oya kuna wengine hawala namba